MTANDAO WA WIZI WA MADAWA WABAINIKA HOSPITALI YA MUHIMBILI

Kesi ya wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) waliofukuzwa kwa kuwapa wagonjwa dozi kubwa za dawa kuliko mahitaji, wakitumia jina la daktari “hewa”, imeanika mbinu za wizi wanazotumia watumishi wasio waaminifu katika hospitali za umma. Kufukuzwa kazi kwa Andrew Komba na Nelson Ileta, ambao pia walithibitika kutumia fomu batili za Mfuko wa Taifa wa